Wednesday, January 11, 2006

NIMO NDANI YA NYUMBA

Najua kuna wengi wametangulia wakiwa na nia moja kubwa ya kutoa mawazo yao ili wengine wayaelewe na ikiwezekana wachangia kwa kadri wanavyoweza. Nami nachukua fursa hii ili niweze kushirikiana na wasomaji wengi. Najua mtanikaribisha

2 comments:

Ndesanjo Macha said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

Ulikuja siku nyingi ila ulikuja kimya kimya mno! Unatumia maneno makali kama risasi kwenye makala zako. Tusonge mbele.