Monday, January 23, 2006

UMEISIKIA MIPANGO YA WAAFRIKA

Mara zote vyombo vya habari vya mataifa ya Ulaya na marikani huwa haviripoti mazuri ya Afrika, hulionyesha bara hili kama bara linalokabiliwa na lililogubikwa na kila aina ya matatizoikiwemo umaskini na magonjwa.
Hii yaweza kuwa kweli lakini si kwamba hakuna mazuri yaliyo huku yanayopaswa kuripotiwa.
Sasa hivi karibuni huku Landani kumefanyika mipango ya kuanzisha tV itakayokuwa ikiripoti habari za Afrika kwa urari sawa kabisa.
Naomba wazo hili lifanikiwe na kuonyesha upande wa pili wa Afrika

No comments: