Monday, January 23, 2006

KAULI ZA VIONGOZI NA TAALUMA YA POLISI

Hakuna asiyejua kinachoendelea sasa baada ya kauli mbovu kabisa ya waziri wa usalama wa raia.
usalama wa raia si siasa ya kutamka tu kila unachojifikiria.
Vijana wanne wa kitanzania wanafungwa pingu na kupigwa risasi vichogoni mara tunatangaziwa kwamba majambazi hayo yalirushiana risasi na polisi, hivi inaingia akilini kweli!
Tutegemee vifo vingi vya 'majambazi' yaani sasa ukigombania demu tu na askari kosa waweza kuwa jambazi linalotafutwa kwa siku nyingi

No comments: