Saturday, May 23, 2009

Miaka fulani hivi mkuu alikutana na hawa wasanii

Hapa Mkuu ni kama anasema Cheers Bush


RAIS WA KWANZA TOKA AFRIKA KUKUTANA NA OBAMA


Monday, May 11, 2009

Kikosi cha Taifa Starz kilichopambana na Congo


Kwa mujibu wa TFF, shirikisho la soka nchini lilimwomba Maximo atafute makocha, na hawa ndo aliowaleta. Swali hivi maximo ni kocha ama wakala wa kutafuta makocha

MAXIMO HATUFAI

Wengi unapomwongelea huyu jamaa husingizia kuwa watz wanamwonea wivu, sio kweli maximo hafai kuwa kocha wa timu ya taifa ya Tanzania. Najua msomaji unaweza kutoa mengi, hapa ni changamoto tu na ni wakati wako wewe kuchangia


DIDIER DROGBA
Huyu ni mshambuliaji wa klabu ya Chelsea ambaye henda UEFA ikampa adhabu kwa kumzonga refa wakati wa pambano kati ya Chelsea na Barca. Anatoka Ivory Coast.

Blog hii sasa itakuwa ikipost picha za matukio mbalimbali