Kwa mujibu wa TFF, shirikisho la soka nchini lilimwomba Maximo atafute makocha, na hawa ndo aliowaleta. Swali hivi maximo ni kocha ama wakala wa kutafuta makochaMAXIMO HATUFAI
Wengi unapomwongelea huyu jamaa husingizia kuwa watz wanamwonea wivu, sio kweli maximo hafai kuwa kocha wa timu ya taifa ya Tanzania. Najua msomaji unaweza kutoa mengi, hapa ni changamoto tu na ni wakati wako wewe kuchangia
No comments:
Post a Comment