Tuesday, June 23, 2009


Jaribu kuangalia upande wa mbele wa Admn blog block, inapendeza

Wednesday, June 17, 2009

JENGO HILI NDIMO TUNATEGEMEA WABUNGE WATUWAKILISHE KIKAMILIFU


BAJETI YA 2009/10



Wakati serikali na Kikwete wakijisifu kwa kuweka kipaumbele katika kilimo, ukweli ni kwamba hakuna jipya linalofanywa na seriakli katika kuhakikisha kuwa kilimo kinakuwa cha kwanza, ni kutumia maneno mazuri kama mawingu makubwa yasiyoleta mvua, huwezi kusema KILIMO KWANZA ilhali umetenga asilimia 6.9 kwa ajili ya kilimo huku AU ikisisitiza angalau kilimo kitengewe asilimia kuanzia 10


Thursday, June 04, 2009


Matangazo kama haya yanalipiwa kodi kweli!

Nadhani Halmashauri zetu na hasa jijini DSM zingeweza kutengeneza pesa nyingi sana kutokana na matangazo haya na yale ya kuongeza Hips na kukrabati matiti ama kumfanya mtu unayempenda naye akupende

MV Magogoni kazini








KIKWETE AZINDUA KIVUKO KIPYA CHA MV. MAGOGONI



Mapema leo mchana rais Kikwete amezindua kivuko kikubwa cha Mv MAgogoni kilichoundwa kwa gharama ya zaidi ya tshs bilioni 8, pesa za wananchi.