Thursday, June 04, 2009


Matangazo kama haya yanalipiwa kodi kweli!

Nadhani Halmashauri zetu na hasa jijini DSM zingeweza kutengeneza pesa nyingi sana kutokana na matangazo haya na yale ya kuongeza Hips na kukrabati matiti ama kumfanya mtu unayempenda naye akupende

No comments: