Wednesday, June 17, 2009

JENGO HILI NDIMO TUNATEGEMEA WABUNGE WATUWAKILISHE KIKAMILIFU


BAJETI YA 2009/10



Wakati serikali na Kikwete wakijisifu kwa kuweka kipaumbele katika kilimo, ukweli ni kwamba hakuna jipya linalofanywa na seriakli katika kuhakikisha kuwa kilimo kinakuwa cha kwanza, ni kutumia maneno mazuri kama mawingu makubwa yasiyoleta mvua, huwezi kusema KILIMO KWANZA ilhali umetenga asilimia 6.9 kwa ajili ya kilimo huku AU ikisisitiza angalau kilimo kitengewe asilimia kuanzia 10


No comments: