Saturday, January 28, 2006

KASS INAITWA THE MWALIMU NYERERE SASA


Ukiwa mgeni sasa na unategemea kuongozwa na bango utapotea kwani sasa vibao vya kukuelekeza kuwa uende na uingie vipi chuo cha sayansi ya jamii kivukoni maarufu kama KASS yamefutwa na hakuna maelezo yaliyotolewa si kwa umma wa wanachuo tu bali hata umma wote wa watanzania.
Lakini nikiwa kama mwanajumuia nadhani labda ni mwanzo wa mabadiliko makubwa yanayotarajiwa hivi karibuni mara baada ya tangazola serikali. Tusubiri na nitakuwa nikikupatia habari zote juu ya chuo hiki adhimu kilichowahi kuwa chuo cha propaganda cha CCM kabla ya kuchukuliwa na serikali na kuwekwa chini ya wizara ya sayansi na elimu ya juu kinatarajiwa kuanza kutoa shahada

No comments: