Sunday, January 15, 2006

MWAPACHU v/s MAJAMBAZI


Kauli ya waziri wa Usalama wa raia wa Tanzania imesikiwa na kila mwananchi. kauli hii kutoka kwa waziri huyu ya kuwa Polisi wauwe jambazi ambalo linaonyesha dalili za kufanya uhalifu si ya kupita hivi hivi bila watanzania na raia wema wa nchi hii kuihoji, hivi kweli haki iatatendeka kwa jinsi tunavyowajua baadhi ya askari wetu wanavyotubambikizia kesi! na sasa wana rungu la kuuwa
Nadhani kuna wakati viongozi kama hawa wakawa na mtu wa kuedit kauli zao kabla hazijatufikia wananchi.
Tuikatae hii kauli kwani haifai na kama kauli ya mtu huyu haitufai basi naye tumwangalie kama anafaa kukaa mahli alipo

No comments: