Wednesday, March 28, 2007

KILA MTU NI MPIGADEBE!!

Unapotembelea vituo vya mabasi na ama unapotaka kusafiri si ajabu kufuatwa na vijana wa rika la kati wakijitahidi kukushawishi kupanda magari yao, hawa ndio wapigadebe.

Sitaki ujenge picha ya hawa, lakini katika hali ya sasa hivi kila mtu amekuwa ni mpigadebe, sijui tunakwenda wapi. Kuanzia rais mpaka wenye NGO wote wanapigadebe sema kinachotofautiana ni sehemu, namna na mahali pa kupigia debe. hata wenye blog ni wapigadebe

No comments: