Wednesday, May 24, 2006

NYERERE 'FEES' INAPANDA! UMEJIANDAA!!!!!!!!!

Huu sio kama ni uzushi bali ni utabiri halisi.

Chuo kimeamua kuongeza ada kwa wanafunzi wa diploma kisa eti wanatoa mafunzo ya komputa.

kweli jina la Nyerere sasa linatumiwa kibiashara

Nitakuandikia tena kwani kama watu tshs 600,000/= nanga inapaa itakuwa hii 800,000/= wanayopanga au ni kwa ajili ya masirahi binafsi ya kujilimbikizia pesa kwa mgongo wa wavuja jasho!!

tangazo hili likitolewa hakika mwalimu atajigeuza alipopumzika

More 2 come

No comments: