Saturday, June 03, 2006

ADA JUUUUUUUU!!!!!!

Nilikuandikia wiki jana na kukutaarifu juu ya kupaa kwa ada kwa wanachuo wa MNMA.
Jana Ijumaa kaimu wa mkuu wa chuo akaitisha kikao cha wanafunzi na ajenda kubwa ilikuwa ni kututangazia ada mpya ambayo ni tshs 820,000/= toka laki sita, yaani ongezeko la tshs220,000/=
Shabaaaash!!!!!!

Ongezeko hili ni kutokana na kikao cha bodi kilichoketi na kufanya utafiti wa ada katika vyuo vingine! Vyuo vingine vinavyosemwa kuwa ni adfa kubwa ni vile ambavyo havina mkono wa serikali kwa asilimia mia kama kilivyo vhuo hiki.

Kuna maoni mbalimbali kuhusu ongezeko la ada hii,

Nitakuandikia

No comments: