Friday, June 23, 2006

NI WAKATI WA MITIHANI

Ukisoma bila kufanya mitihani sidhani kama unastahili kuitwa msomi japo hili linaweza kuwa na maana nyingine ila kwa mtazamo wa machweo mithihani ndicho kipimo sahihi kabisa cha kumtambulisha mwanafunzi na mtu mwingine

Mitihani inaanza j3 hapa MNMA kwa niaba ya wachangiaji na wasomaji wa mada mbalimbali katika machweo ninawatakia mitihani salama wale wote tutakaokaa na kufanya mitihani hii.

Vilevile ni kipindi hiki ndipo tunaagana na wenzetu wanaomaliza mafunzo yao ya diploma na hivyo tunawatakia mafanikio mema huko waendako kutafuta ajira katika dunia hii ya utandawazi

No comments: