Thursday, June 15, 2006

TUNASUBIRI KUAPISHWA!!!

Hassan Jani ndiye Rais mpya aliyechaguliwa kuiongoza serikali ya MASO-MNMA baada ya kuwashinda wapinzani wake wawili Rama Warioba na Rehema H, katibu wake bado hajapatikana kwani Emmanuel Ndunguru na Janeth Soka walilingana kura na hivyo bado tunasubiri utaratibu mpya wa kumpata katibu mkuu, Viongozi waliochaguliwa ni hawa hapa chini na wanasubiri muda tu waweze kuapishwa ili kuingia kazini na kufanya kazi

Rais;- Hassan Masoud Jani SSI
M/Rais:- Bado
Waziri wa Fedha: Edward Biashara Baridi EDI
Waziri wa Afya: F Katanzi GI I
Waziri wa Ulinzi na Makazi: Adam R. Kikono SSI
Waziri wa Michezo na Mahusiano ya Nje: Samwel Mhinga SSI
Waziri wa Habari: Obeid M. Mashauri SSI

No comments: