Saturday, May 06, 2006

UMEISOMA HABARI HII!!!!!

Imetoka katika gazeti la Mtanzania April1 eti kuwa kaimu msajili wa chuo cha MNMA amemkaba na kumpora mwanachuo. Hii si habari njem a kwa chuo chenye jina la muasisi wa Tanzania na kama haina ukweli basi ni vizuri tukapewa ukweli halisi ili kuondoa mawazo na maneno yanayoibuka bila mpango. UPOOOOOOO!

No comments: