Sunday, May 14, 2006

NIRIPOTI KWA NANI!!!!

Inashangaza sana kama unahubiri kitu bila kuwashirikisha unaowahubiria.

Hivi nikitoka likizo ninaripoti kwa nani au ni kutafuta visa tu. Nitaandika tena kuhusiana na hili kwani kuna mwanafunzi amerudishwa nyumbani kisa amechelewa kuripoti na mbaya zaidi huu ni mwaka wake wa mwisho. Tuelezwe tulipoti kwa nani au kuna kingine nyuma ya pazia

No comments: