Wednesday, April 18, 2007

CHEKA KIDOGOOOOO!!!

Nimetumiwa na rafiki yangu si vibaya nawe ukasoma( hakuna ubaguzi)


Kuna muhindi mmoja alivamiwa na majambazi kwa bahati akawahi kujificha darini yeye na mkewe kwa kuogopa kuuwawa. Sasa wakawa wanamtaka ashuke la sivyo watavunja kila kitu ndani.

Mhindi akajibu: " Kama tavunja mavitu tanunua mengine lakini hapana shuka

Jambazi: Shuka la sivyoo tutachukuwa pesa zako zote
Mhindi: Kama machukua pesa tapata mengine toka Bombei

Jamabazi: Shuka kama utaki tutauwa watoto wako hapa chini !
Mhindi: Kama mauwa matoto hapana tabu tategneza mengine mashine yote bili iko juu hapa (YEYE NA MKEWE)

No comments: