Monday, October 30, 2006

MASO SASA MTANDAONI

Kwa muda mrefu sasa wanachuo wa MNMA wamekuwa wakikosa ni wapi wanaweza kusemea na maoni yao kueleka kwa wengine.

MASO serikali ya wanafunzi imeanza kazi ya kuwaunganisha wanafunzi waliosoma katika chuo hiki na wale wanaosoma sasa kwa e mail ifuatayo;

masomnma@yahoo.com

Ukiwa kama mdau wa serikali ya wanafunzi hapa MNMA unaombwa kuchangia kwa kushiriki kuandika mambo mbalimbali kwa kutumia anuani hiyo. Kumbuka uwanja mpana unakuja hivi karibuni

No comments: