Sunday, October 29, 2006

MASO-MNMA NA TEKNOLOJIA YA BLOG

Msomaji wa machweo, usitishike kusoma kchwa hapo juu kwani nahisi ni kigeni sana kwako.
MASO-MNMA ni kifupi cha jina la serikali ya wanafunzi wa chuo cha kumbukumbu ya mwl. Nyerere.

Kwa mwaka huu wa masomo2006/07 maso iko chini ya rais Hasaan Masudi, na moja ya malengo makubwa ya serikali hii ni kuwaunganisha wanafunzi wote si wa memorial tu bali wa dunia nzima kwa kuingia katika dunia ya blog.

Kwa sasa tegemea makubwa toka katika blog hii itakayokupa mengi toka kwa wanzuoni wa MNMA. Blog hii itakuwa chini ya wizara ya habari inayoongozwa na Obe Mashauri

No comments: