Tuesday, April 18, 2006

MAMBO TAYARI USIKU MSIUWEKE!!!
Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa na mapumziko mazuri kwa kila mmoja, nami nimekuwa na mapumziko swaafi kabisa na kuweza kuwasiliana nndugu na marafiki kama unavyojua tena mapumziko yakiisha unapaswa uwe kambini ili kufanya kile chuo,jamii na wewe mwenyewe unachotarajiwa kufanya.
Naam, mambo yamekwisha anza na mapema tu kipyenga kikapulizwa 18/04 na kama kawaida malekchara wakaanza kumwaga lekcha! Unashangaa kuna darasa lilikuwa mahudhurio ya wanafunzi 5, hii haijakaa mwake jamani msiuweke kwani imeshatangazwa kwamba siku ya kufungua na masomo kama kawa.
Wahi usiuweke, duh! inaonekana nyasi zilizozunguka mazingira ya chuo zinapenda sana mvua kwani zilivyoota uatashangaa na laiti kama makwanja yangekuwa yanafanya kazi basi zingeweza kufyekwa kwa ustadi ili kuzifanya zivutie zaidi, nadhani kila mtu analiona

No comments: