Saturday, April 08, 2006

SIKUKUU NJEMA!!!


Najua kila mtu anajiandaa kwa ajili ya sikukuu mbili kubwa kwa watu wa madhehebu yote makubwa ya dini za kigeni, Waislamu na Wakristo

Najua kabisa kwamba waislamu mtakuwa na maulid ya Mtume na baadaye Wakristo watafungua kwarezima na hivyo kusheherekea Pasaka

Machweo inawatakia sikukuu njema na mkae mkijua kwamba jumatatu chuo kinafunguliwa na usishangae jumanne kukawa na paper si unajua mambo ya kasi mpya na kwa mara ya kwanza
Peace&Love from Geka

No comments: