Thursday, March 09, 2006

KIKAO CHA SERIKALI YA WANACHUO


Kwa mara ya kwanza tangu nijisajili kama mwanachuo wa hapa THE MNMA juzi tumekaa kikao cha kwanza huku mkuu wa Principal akiwa mgeni rasmi na katika hali ya kushangaza kabisa Dean of Student akawa ndio kama 'MC'wa kikao hicho.

Nilitegemea lugha itakayotumiwa itakuwa ni ya kistaarabu na kirafiki hasa kwa kikao kama hiki cha watu wenye akili zao wanaohitaji kuelezwa yote yanayoona sawa si sawa kwao.

Nitajitahidi kukuletea yote yaliyojiri katika ukumbi huu wa bush trekker

Muhimu ni kwamba kumbuka kwamba ada inatarajiwa kuongezwa kwa kuwa tu kutakuwa na masomo ya kompyuta

No comments: