Monday, February 13, 2006

KASSO HII NI AIBU

Huwezi kutegemea kitu hiki kitokee katika taasisi ya elimu ya juu kama hapa The Mwl. Nyerere Memorial Academy, imetokea

Inashindikana nini kwa matangazo yanayowahusu wanachuo kuandikwa kwa kompyuta, katibu mzima wa kasso anaandika tangazo na linabandikwa notice board likiwa na maandishi ya mkono na bado huyuhuyu unamtegemea aingie karne ya 21
jirekebishe

No comments: