Monday, February 13, 2006

KARIBU THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY

Hii sio zile Academy zinazoibuka hapa nchini kama uyoga kwa kuwa tu zinawafundisha watoto kiingereza, Ni ACADEMY kwa maana yake.
Siku za nyuma nilikuhadithia kidogo kuhusu kubadilika kwa jina kwa chuo cha Syansi jamii kivukoni, naam sasa kwa sheria rasmi namba 6 iliyopitishwa na bunge na kutiwa sahihi na rais wa jamhuri ya Tanzania imeruhusu kuanzishwa kwa chuo cha kumbukumbu ya Mwl Nyerere.
Kuna mengi ya kukueleza lakini tulia na nitakuwa nikikupa vyote unavyotaka kujua kuhusu chuo hiki kinachotoa shahada, stashahada na astashahada katika sayansi jamii na uchumi/maendeleo

No comments: