Friday, August 27, 2010

MAMISS WA SIKU HIZI KWA MIWANI..!!

                                                                           

                                            
  Baadhi ya washiriki wa Vodacom Miss Tanzania wakiwa na miwani kitu ambacho kimekua kivutio kikubwa kwa mamiss,kiukweli zinawapendeza na kuwaongezea nakshi  mida frlani hivi....
                                                     
                                                                           

TIGER WOODS NA MKEWE WATALIKIANA.

BINGWA WA MCHEZO WA GOLF DUNIANI TIGER WOODS AMETALIKIANA NA MKEWE ELIN NORDEGREN. HIZI NI HABARI KUTOKA MTANDAO WA MCHEZAJI GOLF NAMBA MOJA DUNIANI.

KWA PAMOJA WALISEMA "Tunasikitika kuwa ndoa yetu imefikia tamati na tunatakiana kila la heri katika mustakabala wetu," WAWILI HAO WALISEMA.


HATA HIVYO WAWILI HAO WAMESEMA WATASAIDIANA MAJUKUMU YA KULEA WATOTO WAO WAWILI. SUALA LA KUGAWANA PESA HALIJAWEKWA WAZI LAKINI TAARIFA KATIKA VYOMBO VYA HABARI VYA MAREKANI ZINASEMA KUWA BI.NORDEGREN HUENDA AKAONDOKA NA KITITA CHA DOLA MILIONI 100.

                                                 
                                      Bata za jigga na beyonce ni za hal ya juu mmmh..
                                          

No comments: