Saturday, September 30, 2006

NIKO LIKIZO


Nadhani ni kipindi kimepita tangu niweke kitu kipya gazetini. Wengi pia mmekuwa mkiniuliza kwa sms tatizo nini mbona sionekani tena gazetini au ndo kuchoka kwa kazi ngumu ya kuandika. NO. Niko likizo na maeneo niliyopo mtandao ni tatizo na hata ukipata nafasi katika intanet gharama wanazotoza ni kubwa ukizingatia mtoa huduma yupo peke yake 'monopoly'. kwa sasa nimepata nafasi hii kwani niko jijini kwa shughuli maalum.

Wasomaji wangu kaeni mkitambua kuwa nipo na blog hii haiwezi kuwaacha peke yenu

No comments: