Wednesday, September 01, 2010



JOHN MNYIKA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE CHADEMA UBUNGO

Dr Wilbroad Slaa mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akimnadi John Mnyika kwa wananchi wa Jimbo la Ubungo ,alipokuwa akihutubia katika ufunguzi wa Kampeni za CHADEMA Ubungo juzi Jumapili Kimara Suca.

Vijana wa kazi Mkoloni na Mr II (SUGU) wakilishambulia jukwaa la ufunguzi wa kampeni za Mnyika Kimara Suca(kwa hisani ya blog la fullshwange)

No comments: