Tuesday, January 05, 2010

Safari ya kurudi Dar imefika na sasa ndo tumewasili Ubungo


Kabla ya mchezo na Maji


Hapa ni baada ya mechi na timu ya chuo cha Maji, tulipoteza mchezo kwa seti 3 kwa 2


Fainali kati IFM na DIT, mchezo ulimalizika kwa DIT kuwashinda IFM kwa penati




No comments: