
Asubuhi inapoanza na jua tamu kuchomoza basi pana shaka mchana wa jua unakaribia ukiita jioni kwa sauti kavu kama mtu asiyekunywa maji, na haya ndiyo Machweo yenyewe ambayo mtu hukaa na wenzake kutafakari nini amefanya kwa mchana na apange nini kwa kesho inayosadifiwa na nyota zinazoonekana kwa wingi
Saturday, May 23, 2009
Monday, May 11, 2009
Kwa mujibu wa TFF, shirikisho la soka nchini lilimwomba Maximo atafute makocha, na hawa ndo aliowaleta. Swali hivi maximo ni kocha ama wakala wa kutafuta makochaMAXIMO HATUFAI
Wengi unapomwongelea huyu jamaa husingizia kuwa watz wanamwonea wivu, sio kweli maximo hafai kuwa kocha wa timu ya taifa ya Tanzania. Najua msomaji unaweza kutoa mengi, hapa ni changamoto tu na ni wakati wako wewe kuchangia
Subscribe to:
Comments (Atom)


