Saturday, June 16, 2007

NIPO NDANI YA NYUMBA

Wasomaji wangu kwanza kabisa ningependa kuwaomba samahani kwa kupotea ghafla, nilibanwa na masomo na mitihani ilikuwa inakuja wanguwangu. Sio neno kwa sasa nipo mapumziko na najua tutakuwa pamoja katika kujadili mambo ya utamaduni, siasa na uchumi bila kujali yale yote yanayojiri na kuhusisha maisha yetu

No comments: