Wednesday, December 30, 2009

HERI YA KRIMASI WASOMAJI WA MACHWEO

Inawezekana salam hizi zikaja zikiwa ziechelewa, pamoja na hayo bado ni nia yangu kuwatakia heri ya Krismasi kwa mwaka huu wa 2009
SAFU ZA MILIMA YA KITONGA: UZOEFU NA PICHA

Kwa muda wa kama wiki mbili nilikuwa mkoani Iringa kwa ajili ya kushiriki katika michezo inayohusisha taasisi za elimu ya juu na vyuo nchini.

Nilishiriki katika mchezo wa mpira wa wavu, nitajaribu kupandisha picha za michezo hiyo lakini pia nitaweka picha za safu za milima ya Kitonga